KUTANA NA WACHEZAJI 10 MATAJIRI ZAIDI DUNIANI WANAOCHEZA KOMBE LA DUNIA MWAKA HUU 2014.



Hii ni list ya wachezaji matajiri zaidi duniania mabao wapo kwenye kinyang'anyiro cha kuwania kombe la dunia kule nchini bazili 



10. Gianluigi Buffon timu yake ya taifa ni  Italy anautajiri wa dola za kimarekani  $50 million  





9. Fernando Torres anaichezea Spain anautajiri wa dola za kimarekani $50 million 


 


8. Steven Gerrard ni kiungo wa  England ana utajiri wenye thamani ya dola za kimarekani $55 million  






  7. Frank Lampard anaichezea timu ya England anautajiri wenye thamani ya dola za kimarekani  $60 million 





6. Yaya Toure timu yake ya taifa ni Ivory Coast ana utajiri wa dola za kimarekani $70 million 


 


5. Samuel Eto’o timu yake ya taifa ni Cameroon ana utajiri wa dola za kimarekani  $75 million  






4. Didier Drogba anaichezea Ivory Coast ana utajiri wa dola za kimarekani  $90 million 

 




3. Wayne Rooney anaichezea  England akiwa na utajiri wa dola za kimarekani  $95 million  





2. Lionel Messi timu yake ya taifa ni  Argentina anautajiri wenye thamani ya dola za kimarekani $180 million  






1. Cristiano Ronaldo timu yake ya taifa ni  Portugal — anautajiri wa dola za kimarekani  $230 Million  




Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top