HII NDIO NDEGE ILIYOPATA AJALI HUKO JOHANNESBURG JUMAPILI HII...








Ndege hiyo aina  Boeing 747 jet ambayo ni mali ya kampuni ya British Airways, siku ya jumapili Dec. 22nd iligonga nyumba kwa bawa lake la upande wa kulia katika nyumba moja iliyoko karibu na  Airport nchini Johannesburg, South Africa. (Pic above) 
Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top