Kutoka kenya katika kituo kimoja kikubwa cha Citzen tv Mtangazaji anayemake headlines nchini kenya anayejulikana kwa jina la Lilian Mulli amabaye anatangaza katika kipindi cha Nipashe mara nyingi inasemakana mwanzoni hivyo ndivyo alivyokuwa lakin kutokana na kazi na pesa pia mabo yamebadilika mcheki alivyo sasa
Kweli pesa sabuni ya roho