Adam Kuambiana enzi za uhai wake.
MWIGIZAJI Adam Kuambiana amefariki dunia wakati akipelekwa hospitali ya
Mama Ngoma iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam kwa matibabu. Marehemu
Remy, Dar. Kabla ya mauti kumfika, Adam alikuwa akilalamika kuwa anasumbuliwa na tumbo. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI. AMEN!

