NADHANI PICHA HIZI ZA RAPPER CHRISS BROWN HUJAWAH KUZIONA TOKA ATOKE JELA ZIKO HAPA.



Miez 3 iliyopita Rapper Chriss Brown alimaliza kifungo chake alichokuwa akikitumikia jela baada ya kesi yake ya kumchapa aliyekuwa mpenzi wake wa zaman Rihanna na kufanyiwa birthday ya kutimiza miaka 25 ambapo mchezo mzima aliufanya mpenzi wa Tran Kaurache pamoja na rapper T-Pain,Lakin kwa siku za hivi karibuni nadhani hujawah kumwona Rapper Chris Browb akiwa kifua wazi picha zake hizi hapa






   

  

Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top