PENZI KATI YA MSANII SHILOLE NA NUHMZIWANDA LARUDI KWA KISHINDO USHAHIDI HUU HAPA.


Penzi kati ya masta wawili ya msanii Nuh Mziwanda na msanii Shilole ambayo yamekuwa headlines sana kwenye media mbalimbali hapa bongo sasa baada ya kuripotiwa kuvunjika sasa siku ya  jana ambapokilibuka kitu kipya baada ya mastaa hawa kusambaza picha kupitia account zao za Instagram wakiwa pamoja huku kila mmoja akiandika maneno ya mahaba kwa mwenzake,na inavyoonekana kwamba wamerudiana tena kwa kishindi kikubwa kabisa ushahidi huu hapa chini




Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top