Davido Afunguka Juu Ya Kufanya Collabo na Rick Ross & Trey Songz, Asamoah Gyan pamoja na D’Prince.

Davido


Msanii Davido kutoka kule Nchini Nigeria amefunguka juu ya habari zilizokuwa zikizagaa kwenye mitandao mbalimbali ya habari nchini humo juu ya kufanya collabo na wasanii kutoka marekani kama Rick Ross,Trey Songz,Asamoah Gyan pamoja na msanii D’Prince na wengine wengi tizama video hii kuthibisha hilo 



Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top