UMEZIONA PICHA ZA NYUMBA WANAYOTAKA KUNUNUA JAY Z NA BEYONCE KWA BILIONI 141 HIZI HAPA

Beyonce na Jay Z wapo njiani kununua na kuhamia kwenye nyumba ya kifahari yenye thamani ya dola milioni 85 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 141 huko Beverly Hills.
beyonce-jay-z-working-album
Nyumba hiyo ilijengwa na bilionea, Bruce Makowsky.
Nyumba hiyo ya kisasa yenye ukubwa futi za mraba 23,000 ina vyumba vinane, mabafu 15, bwawa la kuogelea, jumba la sinema lenye viti 24 na vingine. Kwa mujibu wa TMZ, Beyonce na Jay Z ambao walidaiwa kuwa na mgogoro wa ndoa yao, waliikagua nyumba hiyo walau mara mbili kabla ya kwenda kwenye ziara yao.
Tazama picha za nyumba hiyo.

4444

11

22

111

118-north-hill-crest-beyonce

118-north-hills-crest-beyonce-home
222
Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top