UMEZIONA PICHA ZA SERENGETI FIESTA 2014 MKOANI GEITA HIZI HAPA.

306fst

Ikiwa ni mji wa 8 kufikiwa na Tour ya Serengeti Fiesta 2014 kati ya miji 18 ambayo ipo kwenye list ya kukutana na msimu huu wa mafanikio ambao hua unakufikia mara moja tu kwa mwaka.Jana ilikuwa ni zamu ya Geita na hivi ndivyo ilivyokuwa tizama picha hizi  

Hizi ni baadhi ya picha wakati wasanii wanaperfoam. 




Ney wa Mitego on Stage.



Ney wa Mitego na Stamina wakiperfoam huko kwenu vipi?

 




Stamina aka Shorobwenzi.. 

 



Wakata mkaa wenye roho mbaya ‘Chegge na Temba’ wakiwa kazini. 


 

 



Stamina. 

 


Team XXL ‘Dj Fetty na Dj Zero’



Dj Zero. 



Fid Q. 

 




Fid Q akisema na mtoto wa Geita. 

 



Nikki wa pili.

 


 

 



Dj Fetty kutoka XXL ya Clouds FM.

 

 



Ommy Dimpoz.



Recho akiwa na Dancers wake.

 

Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top