Huddah Monroe Ameshika Nafasi ya Kwanza Kenya Kuwa Staa wa Kwanza Kumiliki Iphone 6 Picha hizi hapa.

HUDDAH MONROE 

Video Vixen Huddah Monroe  Kenya kutoka nchini Kenya ameingia tena kwenye Headlines baada ya kuwa Staa wa kwanza kutoka Kenya kumiliki Iphone 6 ambazo zinathamani ya zaidi ya shilingi million Nne za kitanzania,kutoka kwenye ukurasa wake wa Instagrma ameachia picha hii hapa akionyesha simu yake hiyo 

HUDDAH MONROE IPHONE 6
Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top