Picha ya Gari Anayomiliki Mtoto wa Yusuph Bakhresa Lenye Thamani ya Million 800 za Kitanzania.



gari analomiliki mtoto wa yusuph bakhresa






Mtoto wa tajiri anashika nafasi ya kwanza hapa Tanzania Yussuf Bakhresa amenunua gari mwanae ambalo anamiliki mmiliki wa klabu ya Manchester city ya England, mtoto wa bilionea Mtanzania, Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa gari hiyo ambayo jina lake ni brabus.Vyanzo vimesema Yussuf alitoa oda maalum kutengenezewa gari hili na thamani yake jumla si chini ya dola za Kimarekani 500,000 sawa na shiingi milioni 805 za kibongo

Hizi ni baadhi ya pcha za gari hilo likiwa na dereva anayemwendesha mtoto wa tajiri huyo



gari analomiliki mtoto wa yusuph bakhresa




gari analomiliki mtoto wa yusuph bakhresa





gari analomiliki mtoto wa yusuph bakhresa



gari analomiliki mtoto wa yusuph bakhresa



gari analomiliki mtoto wa yusuph bakhresa



gari analomiliki mtoto wa yusuph bakhresa
Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top