Photos; Mimba ya Zari ilivyyokuwa Kubwa.

Mpenzi wa Msanii wa Bongo Fleva Nasibu Abdul alamarufu kama Diamond Platnumz, Zari amepost picha yake kwenye mitandao ya kijamii akionyesha jinsi tumbo lake lilivyokuwa kuwa kubwa ambapo kwa sasa Zari ana mimba ya Diamond na kuanzia sasa tatarajie mtoto kutoka kwao.


mimba ya zari
Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top