Nadhani utakuwa unakumbuka wimbo wa Tumekuja chokoza uliombwa na msanii Marya akimshirikisha Avrill wote kutoka lebal ya Ogopa DJs,Ni moja kati ya wasii wakike wenye maumbile mazuri na hata kujaliwa sura nzuri hapa Africa Mashariki,nimekukusanyia picha zake hizi zitazame hapa