UMEZIONA PICHA ZA HARUSI YA PRODUCER MAN WATER ZIKO HAPA.

 


Producer Man Maji Man Water ambalo jina lake kamili ni John Vomo Shariza Siku ya Jumamosi tarehe 21 Septemba 2014 katika kanisa la KLPT Kigamboni jijini Dar es salaam alifunga ndoa na mke wake aliyejulikana kwa jina Matilda Jimmy Igoti katika ukumbi wa Karimjee Hall jijini Dar es salaam,Zitazame picha za kilichojiri kwenye hafla hiyo 


 

 

 

 

 

 

 

 

 

 





 

 

 



 

 

 

 

 
Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top