HARUSI YA 2FACE IDIBIA KUFANYIKA MWEZI DUBAI WEZI UJAO..





Ndoa  iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ya mwanamuziki kutoka Nigeria anayejulikana kama  2Face Idibia na mchumba wake Annie Macaulay Idibia  sasa inatarajiwa kufungwa Tarehe 23 March mwaka huu.
Mkewe mtarajiwa  Annie Macaulay Idibia aliandika hivi kupitia ukurasa wake wa  facebook na kusema kuwa ndoa hiyo itafungwa Dubai.


Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top