Home
»
event
»
SIRI IMEFICHUKA... ZICHEKI SMS ZA MAPENZI KATI YA KAJALA NA ALIEKUWA BWANA WA WEMA SEPETU. SOMA HAPA
Katika hali isiyokuwa ya kawaida meseji za Aliyekuwa mpenzi wa zamani wa Wema Sepetu, Clement na aliyekuwa rafiki kipenzi Wa Wema, Kajala Masanja zimevuja jinsi walivyokuwa wanawasiliana, na aliyeziweka wazi meseji hizi ni Naima. Soma hapo chini na jinsi raia walivyofunguka huko Instagram
Filed Under:
event
on Wednesday, 7 May 2014