AJIUA KWA KUJINYONGA KWA KANGA DAR


Mkazi wa Kisukulu jijini Dar es Salaam, Iren Ibrahimu (22, amekufa kwa kujinyonga kwa kanga kwenye mti wa mjohoro.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Mary Nzuki, alisema kuwa tukio hilo lilitokea juzi asubuhi katika eneo la Kisukulu.

Nzuki alisema kuwa julai 27, mwaka huu Iren alikwenda kwenye duka la Olivar Laurent kununua pombe aina ya kiroba original paketi tatu kisha aliingia chumbani kwake na jioni alitoweka na hakurudi tena hadi alipokutwa amekufa kwa kujinyonga shambani.
Chanzo EATV
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top