KAMA ULIMISI VIDEO DIAMOND ALICHOKISEMA BAADA YA USHINDI WA TUZO ZA AFRIMMA HII HAPA.!

Screen Shot 2014-07-30 at 2.56.39 AM
Weekend ya usiku wa kuamkia July 27 2014 ndio Diamond na Lady Jaydee wametangazwa kuwa washindi wa tuzo kwenye tuzo za AFRIMMA2014 zilizotolewa nchini Marekani zikiwa zimewashindanisha mastaa wakubwa wa Afrika kama vile Davido, Mafikizolo, 2Face na wengine.

Kama ulitamani kuona Diamond akihojiwa baada ya ushindi huo hii ndio time yako mtu wangu… kuitizama youtube bonyeza hapa


Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top