Mtangazaji wa 93.7 EFM Radio Penny Mungilwa almarufu kama Vj Renny baada ya kumake headlines na pete ya uchumba sasa kupitia instagram amepost picha yake akiwa na mwanaume inayesemakana kuwa ndie aliyemvisha yeye mwenyewe ajathibitisha hilo
INASEMEKANA HUYU NDIE MCHUMBA WA MTANGAZAJI MAARUFU VJ PENNY HUYU HAPA.
Mtangazaji wa 93.7 EFM Radio Penny Mungilwa almarufu kama Vj Renny baada ya kumake headlines na pete ya uchumba sasa kupitia instagram amepost picha yake akiwa na mwanaume inayesemakana kuwa ndie aliyemvisha yeye mwenyewe ajathibitisha hilo
CodeNirvana