UMEONA STAILI MPYA YA UVAAJI WA MSANII CHRIS BROWN AMBAYO IMEKUWA GUMZO MTANDAONI.



Staili mpya ya Chris Brown kwa mara ya kwanza kwenye jukwaa la BET 2014



Vazi hili lilobuniwa na mbunifu Seth Chernoff na pia staili hii ya kuvaa shati lenye langi nyekundu kiunoni ndio habari ya mjini kwa sasa baada ya mastaa kibao kuanza kuivaa.Na pia raba kali zilizobuniwa na msanii mwenzake Kanye West zinazojulikana kwa jina la “Nike Air Yeezy Red”








Rihanna nae hayuko nyuma san kwenye Fashion alitupia pia
Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top