Picha, Mariah Carey Kwenye Show China,Vazi Lake Lazua Gumzo.

Ata na matatizo ya ndoa msanii Mariah Carey anajitaidi awezavyo kufanya kazi  kama kawaida, Hivi karibuni alikuwa kwenye show huko Shanghai China kwenye uwanja wa mpira. Nguo aliyovaa na na muonekano wake umezua gumzo kwenye mitandao.
Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top