Picha, Missy Elliot Alivyopungua Baada Ya Miaka Sita Ya Kujituma Ili Kuwa Na Muonekano Anaoutaka.

Ndani ya miaka sita msanii Missy Elliot amefanikiwa kupunguza mwiliwake na kuwa na muonekano alioutaka kwa muda mrefu.
Mwaka 2008 Missy aliugua ugonjwa unaosababishwa na mafuta mengi mwilini na toka hapo alianza kuchukua hatua katika kupunguza mafua mwilini.
 
Newer Posts Older Posts
© Copyright WCB Daily Published.. Blogger Templates
Back To Top