Ndani ya miaka sita msanii Missy Elliot amefanikiwa kupunguza mwiliwake na kuwa na muonekano alioutaka kwa muda mrefu.
Mwaka 2008 Missy aliugua ugonjwa unaosababishwa na mafuta mengi mwilini na toka hapo alianza kuchukua hatua katika kupunguza mafua mwilini.
Filed Under:
star photo
on Wednesday, 22 October 2014